Kamati ya Olimpiki Tanzania wamekutana leo tarehe 24, Agosti 2022, na vyama/ mashirikisho ya michezo yanayotegemea kushiriki michezo ya olimpiki, kwenye kikao cha kiufundi juu ya matayarisho ya Michezo ya Olimpiki ya paris 2024.
Kamati ya Olimpiki Tanzania yakutana na mashirikisho ya michezo.
![Kamati ya Olimpiki Tanzania yakutana na mashirikisho ya michezo.](https://www.tanzaniaolympics.org/wp-content/uploads/2022/08/1-1280x640.jpg)
Recent Comments