Makamu wa Rais TOC, Henry Tandau alipozungumza na Waandishi wa Habari hapo jana kuelekea Mashindano ( Selection Competition) yatakayofanyika Desemba 16 na 17 2022 uwanja wa Benjamini Mkapa na ule uwanja wa ndani (Indoor). Mashindano haya yatahusisha Michezo ya Riadha, Ngumi na Judo.
Mashindano ya TOC kufanyika Desemba 16 na 17

Recent Comments