Kamati ya Olimpiki Tanzania imeadhimisha siku ya Olimpiki Kitaifa tarehe 8/7/2023 katika Uwanja wa Benjamini Mkapa na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa Michezo wa rika zote wadogo kwa wakubwa. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa Mwaka huu ikisema “Let’s Move,” kauli ambayo inadhamiria kuhamasisha jamii kufanya mazoezi kwa ajili ya kutunza afya zao na kuweka miili yao sawa. Adhimisho hilo la siku ya Olimpiki Kitaifa limehusisha michezo mbalimbali ikiwemo mbio za taratibu za kilomita 2.5 kwa Watoto chini ya miaka 14 na kilomita 5.0 kwa walio na miaka 15 na kuendelea, Aerobics, Breaking,Teqball pamoja na mchezo wa Skateboard.
Related Posts
Recent Posts
- Tanzania Olympic Committee organises Karatu Sports Festival
- Tanzania Olympic Committee organises NSA/NSF Secretary Generals Seminar
- Tanzania Olympians Association (TOA) conducts an election
- Tanzania Olympic Committee conducts a 5 days Sports Administration Course
- Kamisheni ya Uchaguzi ya TOC yatoa muongozo wa uchaguzi wa viongozi TOC 2025-2025
Archives
- December 2024
- November 2024
- October 2024
- July 2024
- June 2024
- May 2024
- April 2024
- March 2024
- February 2024
- January 2024
- December 2023
- November 2023
- October 2023
- September 2023
- August 2023
- July 2023
- June 2023
- April 2023
- March 2023
- February 2023
- January 2023
- December 2022
- November 2022
- October 2022
- September 2022
- August 2022
- July 2022
- June 2022
- April 2022
- February 2022
- August 2019
Recent Comments